Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini Deogratius Ndejembi akiongea na wanachuo wa chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) wakati wa kongamano la kuwaelimisha na kuwasaidia wanavyuo jinsi ya kupata ajira wamalizapo masomo, kongamano hilo lilidhamini na kampuni ya Tigo lilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Arusha.
Baadhi ya wanachuo cha IAA wakisikiliza kwa makini.

Afisa Mauzo wa Tigo Musa Msemo akitoa maelezo kwa mmoja ya wanachuo waliohudhuria kongamano hilo.

Mambo ya Selfieeee...
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: