Kuna ajali imetokea muda si mrefu maeneo ya Ngilori na tabu hotel katika wilaya ya Gairo kati ya fuso iliyokuwa imepakia watu waliotoka msibani na gari kubwa aina ya semi uso kwa uso idadi kamili ya watu waliopoteza maisha bado sijapata maana ni ajali mbaya sana. Nitawajuza zaidi kinachoena kuwatumia picha.
Home
Unlabelled
AJALI NYIGINE YATOKEA GAIRO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: