
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Mwananchi, ambaye amejiteua kuwa Balozi wa Kupigania Mauaji ya Albino, Bw. Henry Mdimu (wa pili kutoka kushoto) akiongea na waandishi wa habari kutangaza dhamira yake ya dhati ya kujitolea kutoa elimu kwa watu ili waweze kuacha mauaji. Pembeni wanaomzunguka ni kamati inayomuunga mkono ili kufanikisha harakati ya IMETOSHA.
Mwenyekiti wa Harakati ya IMETOSHA, Bw. Masood Kipanya akikazia jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Msanii Cassim Mganga akisalimia na waandishi wa habari.
Mweka hazina wa mfuko wa harakati ya IMETOSHA, Bi. Monica akiongea machache.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifuatilia.
Wanaharakati ya IMETOSHA wakishow love.
Picha ya pamoja.










Toa Maoni Yako:
0 comments: