Spika wa Bunge, Anne Makinda akizungumza katika wakati wa majumuisho ya ziara hiyo. Kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka na Mkurugenzi wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Ramadhani Dau (mwenye kanzu) akitoa ufafanuzi kwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda pamoja na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge walipo tembelea miradi mbalimbali ya NSSF ya jijini Dar es Salaam ukiwemo mradi wa daraja la kisasa linalojengwa na NSSF kwa ubia na Serikali kuunganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni.
Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka (MB) akiongea mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea miradi ya Dege ECO Village iliyochini ya NSSF jijini Dar es Salaam, ambapo aliambatana na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge.

Mhandisi wa NSSF, John Msemwa akitoa ufafanuzi wakati
Kamati ya Uongozi ya Bunge ilipotembelea kukagua miradi ya shirika hilo likiwemo Daraja la Kigamboni ikiwemo 
mji wa kisasa wa Dege Eco Village.

Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege Eco-Village akiongea na mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea miradi ya Dege ECO Village iliyochini ya NSSF jijini Dar es Salaam, ambapo aliambatana na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge.
Wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge ikifuatilia kwa makini.
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege Eco-Village akiwa na viongozi wenzake.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: