Mkurugenzi wa Kampuni ya Jayax Development and Training, Jemima Njeri akiongea katika mkutano ulioandaliwa na benki Kuu kujadili na kutatua Migogoro ya kibenki jijini Dar es Salaam jana.
Mameneja kutoka benki mbali mbali waliohudhuria semina hiyo, wa pili kutoka kushoto ni Meneja Masoko wa Benki ya Access, Muganyizi Bisheko wakati wa mkutano ulioandaliwa na benki Kuu kujadili na kutatua Migogolo ya kibenki jijini Dar es Salaam jana.
 Naibu wa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BoT, Lila Mkila (kulia) akisalimiana na Meneja Masoko wa Benki ya Access, Muganyizi Bisheko wakati wa mkutano ulioandaliwa na benki Kuu kujadili na kutatua Migogolo ya kibenki jijini Dar es Salaam jana.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: