Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wananfunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka jana.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Mkuu wa shule hiyo, Suma akielezea historia ya shule hiyo inayojuisha watoto wengi yatima
 Wanafunzi wakifurahia pongezi za ufaulu mzuri zilizotolewa na Kinana.
 Moja ya majengo ya shule hiyo.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwaimbisha wanafunzi wa shule hiyo wimbo wa 'Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote', uliotungwa enzi hizo na babake Moses Nnauye.
Wanafunzi wakishangilia kwa furaha baada ya kuimba bila matatizo wimbo huo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: