Watoto wa marehemu Martin na Steven Kibusi kulia wakiwa kwenye chakula cha pamoja baada ya ibada ya kumbukumbu ya kumuaga mama yao kumalizika kushoto ni marafiki wa karibu na watoto wa marehemu wakiwafariji marafiki zao. Pia familia ya marehemu walitoa shukurani za dhati kwa wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine katika msiba huu wa mpendwa mama yao na kuwezesha kukusanya $19,000 ili kuwezesha kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania " hatuna cha kuwalipa kitakacholingana na hicho kikubwa mlichoifanyia familia hii ya Kibusi, tunawaoombea kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awazidishie mara dufu"
Dua la kuombea chakula
Mkuu wa Wilaya ya Springfield, Alhaji Isaac Kibodya akiwa na shemeji yake na NY Ebra aliyewakilisha timu ya Vijimambo kwenye msiba huo.
Watanzania wa Massachusetts wakiwa wamejumuika pamoja kwenye chakula cha pamoja  baada ya Ibada ya kumbukumbu kumalizika.
Kwa picha zaidi bofya HAPA
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: