Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo,(kulia) akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa jinsi  mashine mpya ya Ceragem V3 inavyofanya kazi , wakati wa uzinduzi wa mashine hiyo inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini . Anaeshuhudia ni Patricia Mndolwa.
 Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura Salum,wanaosumbuliwa na ugonjwa wa
kansa wakifunua kitambaa, kuashiria uzinduzi wa Mashine mpya ya Ceragem V3  inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa
mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini,pamoja nao katika picha ni Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa, Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo, na Patricia Mndolwa.
 Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura Salum,wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kansa wakikata utepe, kuashiria uzinduzi wa Mashine mpya ya eragem V3 inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila kumeza dawa wala kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini,Pamoja nao katika picha ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo, Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa.
 Baadhi ya Wagonjwa na wafanyakazi wa Kampuni ya Ceragem, Africa
Mashariki wakifuatilia hotuba ya Uzinduzi waMashine mpya ya Ceragem V3  inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali nchini.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo,  akizungumza na baadhi ya wagonjwa na wafanyakazi wa Dafa Ceragem wakati
wa Uzinduzi wa Ceragem V3 inayotumia Teknoloji ya hali ya juu katika
kutibu Magonjwa mbalimbali bila kumeza dawa wala kuchomwa sindano katika
vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini.Katika
picha kutoka kushoto, Patricia Mndolwa,  Mkurugenzi wa Dafa Ceragem,
Edmund Mndolwa, na Mgeni Mualikwa Bi. Lydia Mushumbusi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: