![]() |
| Upakuaji ukiendelea. |
![]() |
| Meneja wa Airtel mkoa wa Mwanza David Wankulu (kushoto) akiwa na Meneja wa Masoko Kanda Emanuel Raphael wakisaidizana kufanikisha shughuli hiyo ya makabidhiano. |
![]() |
| Mafuta kwa Kituo. |
![]() |
| Vijana wa Kituo cha watoto yatima cha Sharif Said Al-Bith kilichopo eneo la Nyegezi Majengo Mapya jijini Mwanza katika picha ya makabidhiano na wadau wa Airtel. |
![]() |
| "Hawa ni watoto wetu, hivyo tunapaswa kuwalinda" Kauli ya pamoja ya wadau wa Airtel kwa wale wote wenye mapenzi mema. |
![]() |
| Sambamba na kuzibainisha changamoto wanazokabiliana nazo kama vitabu, madaftari,magodoro na sehemu za kulala, msimamizi wa kituo Al-Hajji Hussein pia naye alikuwa na yake ya kusema. |
![]() |
| Ahmad Mustapha ni mmoja kati ya vijana wanao lelewa na Kituo cha watoto yatima cha Sharif Said Al-Bith kilichopo eneo la Nyegezi Majengo Mapya jijini Mwanza akitoa shukurani zake. |
![]() |
| Shumbana Hassan ni mmoja kati ya watoto wa kike wanao lelewa na Kituo cha watoto yatima cha Sharif Said Al-Bith kilichopo eneo la Nyegezi Majengo Mapya jijini Mwanza akitoa shukurani zake. |
![]() |
| Licha ya kuushukuru uongozi wa kituo kwa makaribisho mazuri Meneja Biashara Kanda ya Ziwa Raphael Daudi amesema kuwa msaada huo ni utaratibu wa Kampuni ya Airtel kurejesha kwa jamii yake. |
![]() |
| Shukuran...Aksante!! |

















Toa Maoni Yako:
0 comments: