Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza la Marehemu Muhidin Maalim Gurumo wakielekea msikitini kwa ajili ya sala wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo Aprili 15, 2014 kijijini Kwao Masaki.
 Waombolezaji wakisaidiana kupeleka jeneza msikitini.
 Waumini wa dini ya Kiislam wakiswalia Jeneza lilibeba Mwili wa Merehemu Muhidini Maalim Gurumo kabla ya mazishi yake Kijijini kwao Masaki Wilaya ya Kisarawe leo Aprili 15, 2014.
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania linaloundwa na (Chamudata, Tafoma, Injili, Kizazi Kipya, Asili, Disco), Addo November (mwenye shati ya mikono mirefu) akiongoza waombolezaji kubeba mwili wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao, Masaki Kisarawe.
Waombolezaji wakiwa wamefika makabirini.
Taratibu za maziko zikiendelea....
Waombolezaji wakiendelea na zoezi la kufukia udongo kaburi la Marehemu Muhidin Maalim Gurumo.
Mmoja ya wanafamilia akitoka ndani ya kaburi.
Mtoto wa Marehemu Gurumo, Abdallah Muhidin Maalim akisaidiwa kutoka eneo la makabirini mara baada ya kukamilisha zoezi la maziko.
Mbunge wa Bagamoyo, Ridhiwan Kikwete (kulia) akiongea na waombolezaji mara baada ya maziko.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Prof. Jay nae alikuwepo katika maziko hayo.
Waombolezaji wakipiga swala ya mwisho mara baada ya kukamilisha zoezi la maziko.
Ndugu wa Marehemu Gurumo wakomba dua kwenye Kabuli la marehemu Gurumo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: