DSC_0773
Kaimu Mkurugenzi wa Kinga, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Neema Rusibayila, akifungua rasmi warsha ya mradi wa upatikanaji na utekelezaji wa pamoja kati ya Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP) na Shirika la Kimataifa lisilokuwa la Kiserikali (NGO) PATH kwenye sekta ya Afya katika utumiaji na uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ya TB, Malaria na magonjwa yaliyoachwa katika nchi za joto. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkazi, Oparesheni wa UNDP, Bw. Titus Osundina.
DSC_0730
Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali katika warsha hiyo ya siku moja ambayo ilikuwa inazungumzia mradi wa pamoja wa upatikanaji na utekelezaji kati ya UNDP na PATH jinsi ya uanzishwaji wa Teknolojia mpya katika kupamba na magonjwa ambayo yanapatikana katika nchi za joto.
DSC_0789
DSC_0732
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: