Haijalishi ni kiasi gani unayaona maisha yako kuwa ni mabaya,..usikate tamaa ,kuna watu hawana viungo vyote vya mwili kama wewe, but Mungu Kakupa, unakula Milo miwili, mitatu hata mmoja kwa siku,lakini kuna mtu sehemu anatamani ale tu hata hicho unachokibakiza mezani. Kuna mtu hana kitu kabisa, ana fight japo aendelee kuishi tu. Usikate tamaa siku zote amka ukiwa na moyo wa kusamehe, kushukuru kwa kila jambo na zaidi,appreciate kwa chochote Mungu anachokubaliki, Zingatia... MAFANIKIO NI LAZIMA KWA KILA ANAYEFANYA KAZI KWA BIDII NA UAMINIFU.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: