Mkuu wa Chuo cha maendeleo ya maji Dr Shija Kazumba akibadilishana mawazo na washiriki wa warsha ya kimataifa kuhusu maendeleo, Miundo mbinu na Vituo vya Maji katikati ni Dr Anderies Jordaan kutoka afrika kusini kushoto aliye vaa shati jeupe ni Afisa Taaluma kutoka UN yenye ofisi zake nchini Ujerumani Dkt. Mathew Kurian Warsha hiyo ya siku mbili ilifanyika hapa nchini na iliwajumuisha watalamu mbali mbali kutoka vyuo vikuu vya kimataifa
Washiriki wa Warsha pamoja na watalamu kutoka chuo cha Maji Tanzania
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: