Nyomi ya wapendanao ikifuatilia kwa makini burudani.
Zawadi za Valentine zikiuzwa ndani ya Darlive kama zilivyonaswa na kamera yetu.

Mnenguaji wa Jahazi akifanya yake.
Dada huyu alishindwa kujizuia kuyarudi.
Tx Moshi Juniour akimtunza muimbaji wa Jahazi.
Waimbaji wa Jahazi katika picha ya pamoja.
Mzee Yusuph na mkewe Leila wakiongea kitu mbele ya mashabiki.
Mc akiwauliza maswali wapendanao hao.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: