Mama Mzazi wa msanii wa nyimbo za kizazi kipya, Judith Wambula a.k.a Lady Jaydee, mama Matha Mbibo akipita mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanae, Lucy Mbibo wakati wa kuuwaga katika Kanisa la Wasabato lililopo Kiwalani Dar es Salaam jana.
Waombolezaji wakiwa wakiwa katika msiba wa dada yake Msanii muziki wa kizazi kipya, Lady Jaydee wakiwa nyumbani kwao Kiwalani Dar es Salaam jana. Ambapo mwili wa marehemu ulisafirishwa nyumbani kao Bunda Mara.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

3 comments: