Master Oscar John

Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.

Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa huko ila itakapobidi anaweza akatoka dini tofauti na mimi, ila itamlazimu aamie kwenye dini yangu, napenda pia asiwe zaidi ya miaka 24, kwa upande wa elimu asiwe chini ya kidato cha nne.

Namtanguliza Mungu mbele kwa yeyote ambaye anaona anafaa katika vigezo vyangu ili ambariki kabla hajafanya mawasiliano na mimi.

Kwa mawasiliano na mimi:
oscarjohn777@yahoo.com
Mungu akutangulie wewe utakayeona unafaa kuishi na mimi kama mke na mume.

Asanteni na karibu
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: