MABONDIA WAKIONESHABA UBABE WAKATI WA MPAMBANO ULIOFANYIKA KLUVYA MADUKANI KATIKA UKUMBI WA SHIMBIKATI.
| Shabiki ambaye akuweza kujizuia baada ya kuona wasanii wa khang moja wakifanya vitu vyao na kuamua kwenda kutunza kwa stail ya aina yake. |
| Shabiki ambaye akuweza kujizuia baada ya kuona wasanii wa kanga moja wakifanya vitu vyao na kuamua kwenda kutunza kwa staili ya aina yake kama anavyo onekana. |
| SHABIKI AKIMTUNZA MNERNGUAJI WA KANGA MOJA. |
| MNENGUAJI WA KUNDI LA KANGA MOJA AKICHEZA KWA STAIL YA KIPEKEE BAADA YA KUAMUA KUCHEZA NA CHUPA. |
| KANGA MOJA WAKIFANYA VITU VYAO. |
| MASHABIKI WAKIMSHANGILIA BONDIA WAO ALIYESHINDA |
| KAZI YA KANGA MOJA IKIENDELEA KULINDIMA KATIKA UKUMBI WA SHIMBI KATI KABLA MPAMBANO WA MASUMBWI. |


Toa Maoni Yako:
0 comments: