Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda
ya ziwa Bi.Herieth Koka(kushoto)akimpatia mmoja wa wateja keki
aliefika dukani hapo ikiwa ni ishara ya kuendelea kusherehekea na kuadhimisha
wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimfanyia mahojiano Afisa Mkuu wa kitengo cha huduma kwa
wateja wa Vodacom Tanzania,Bi.Herieth Lwakatare,kuhusiana na kuadhimisha
wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Bw.Rene Meza akisalimiana na baadhi ya wateja waliofika kupata huduma mbalimbali Vodashop Mlimani
City na kupata frusa ya kujumwika na Mkurugenzi huyo katika kusherehekea
na kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Mfanyakazi wa Vodashop Mlimani
City Bi.Charity Kalima,akiwa na furaha kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake kwa kipindi
hichi cha kusherehekea na kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja nchini.
Mkuu wa Idara ya huduma kwa
wateja wa Vodacom Tanzania,Brigita Stephen akiwafafanulia jambo baadhi
ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya waliotembelea makao makuu katika kusherehekea na kuadhimisha wiki ya
huduma kwa wateja nchini.
Afisa Mkuu wa kitengo cha
huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Bi.Herieth Lwakatare(katikati)akipozi
kwa picha na wafanyakazi wenzake.
Washindi wa zawadi ya huduma bora kwa wateja wa ndani waliochaguliwa
na Idara ya Mahusianao na Mawasiliano na Idara ya Wateja wa Mikataba
Zenobius Mlowe (kulia) kutoka idara ya manunuzi na Faraji Hiza (kulia)
wa idara ya Huduma kwa Wateja wakiwa na tuzo zao katika picha ya pamoja na wasanii wa kike wa kizazi kipya mara baada
ya kukabidhiwa tuzo zao katika hafla fupi iliyofanyika kwenye idara
ya Mahusiano na Mawasiliano ya Vodacom Makao Makuu.



Toa Maoni Yako:
0 comments: