Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akifafanua jambo kwa huku Mhe. Fionnula Gislen, Balozi wa Ireland Nchini akimsikiliza kwa makini wakati wa Mkutano wao Ofisini kwa Mhe. Kairuki.
Balozi wa Ireland Nchini Tanzania, Fionnula Gislen akichangia jambo katika mkutano wake na mwenyeji wake Mhe. Kairuki katika Ofisi yake jingo la Wizara ya Katika na Sheria.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: