Mwenyekiti wa mtandao wa wanamuziki Tanzania, John Kitime akiongea wakati wa warsha ya siku moja ya wanamuziki na wadau wa muziki katika kujadili mambo mbali mbali ikiwemo mustakabali mzima wa mwenendo wa muziki nchini Tanzania. Warsha hiyo imefanyika leo Oktoba 28, 2013 katika mgahawa wa Nyumbani jijini Dar es Salaam.
Wanamuziki na wadau wa muziki wakifuatilia warsha hiyo.
Mwenyekiti wa mtandao wa wanamuziki Tanzania, John Kitime akitoa maelekezo kwa wasanii na wadau wa muziki waliohudhuria warsha hiyo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: