Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Professa Jay ametangaza rasmi kuwa mwanachana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwa mjini Dodoma alipokwenda kuhudhuria bunge la bajeti jana. Kwa mujibu wa picha ambazo amekuwa akizisambaza kwenye mitandao ya kijamii msanii huyo alionekana akiwa na mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi huku akiwa amekamatia kadi ya chama hicho.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: