Mtoto aliyezaliwa jana George Kivaria Akiwa amepigwa na butwaa baada ya kupewa suprisezzzzz na baadhi ya wafanyakazi wa idara yake wakati alipokumbushwa siku yake ya kuzaliwa hapo jana
 Mh George Kivaria akiwa na furaha wakati wafanyakazi wa idara yake walipomuandalia zawadi ndogo ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake hapo jana japokuwa alikataa kututajia umri wake.
 Suprizeeeeeeee Mtoto aliyezaliwa jana Mh George Kivaria (Wa kwanza Kushoto) akipiga picha keki aliyoletewa na wafanyakazi wa idara yake hapo jana.
 Mtoto aliyezaliwa jana Mr George Kivaria Mkuu wa Idara ya Njia Mbadala aka Alternative Channel ya NMB akikata keki tayari kwa kuwalisha wafanyakazi wa idara yake.
 Kata Keki tule.........ndio muda huo uliwadia
 Keki ilipoanza kuliwa.
 Uzaliwe tena ndio maneno yaliyosikika hapo.....
 Keki tamu hadi inataka kudondoka. Happy Birthday Mr George baada ya Kulishjwa  Keki
 Operation meneja wa Njia Mbadala Mr Kilongo naye akipatiwa kipande Cha Keki

Happy Birthday Mr George Kivaria Mungu Akuzidishie Nguvu, Upendo na Heri ya Miaka Mingi hapa Dunia.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: