Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe akiwakabidhi viongozi wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Mtakuja FC ya Mtakuja, Yusuf Idd (kushoto) na Rasud Juma (katikati) zawadi ya jezi na mipira kwa ajili ya timu hiyo jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana, Dorice Cornel na Katibu Mwenezi wa chama hicho wilayani Hai, Simon Mnyampanda. Kiongozi huyo yuko katika ziara ya wiki mbili jimboni kwake kuzungumza na wananchi wake.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: