Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wananchi waliohudhuria katika maadhimisho ya Miaka 49 ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar yaliyofanyika leo katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
 Raisi Jakaya Kikwete akikagua gwaride.
 Gwaride likipita mbele ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Kikwete.
Askari wakila kiapo cha uaminifu katika maadhimisho ya Miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Picha zote na Issa Michuzi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: