![]() |
| Kijana aliyefariki alitambulika kwa jina la Mayunga Clement Lufuta. |
![]() |
| Pikipiki hiyo yenye namba za usajili T988 BDW eneo lake la mbele limezama kabisa uvunguni mwa daladala kiasi cha kuharibika vibaya. |
![]() |
| Pikipiki iliyopata ajali ikiondoshwa barabarani kwa amri ya trafiki. |
![]() |
| Kisha mwili wa marehemu Mayunga Clement Lufuta ukatolewa barabarani kusubiri gari maalum kupelekwa hospitali ya rufaa Bugando kuhifadhiwa. |
![]() |
| Hiki ndicho kitambulisho kilichosaidia kumtambua marehemu. Picha zaidi gonga gsengo blog. |








Toa Maoni Yako:
0 comments: