Kajunason Blog (www.kajunason.blogspot.com) inapenda kukutangazia nafasi ya kazi ya Uandishi wa Habari na Mpiga Picha kutoka mikoa ya:Mwanza nafasi 1
Arusha nafasi 1
Mbeya  nafasi 1
Dodoma nafasi 1
Dar es Salaam nafasi 2

Vigezo:
1. Awe na uwezo wa kupiga picha na kutumia komputa kwa ustadi mkubwa.
2. Mwenye elimu ngazi ya Cheti.
3. Mwenye mahusiano mazuri na jamii yake pamoja na viongozi mbali mbali wa Mkoa wake.
4. Uzoefu usiopungua miaka miwili (2) kazini.
5. Afya njema na uwezo wa kuhimili mikikimikiki.
6. Mwenye umri kuanzia miaka 24 na kuendelea mpaka 31.
7. Asiwe amewahi kupata makosa yeyote na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria kwa makosa ya rushwa, wizi, unyang'anyi na ubakaji/unyanyasaji wa kijinsia.

Maombi yaambatanishwe na maelezo ya muombaji (Biography) pamoja na picha yako inayokuonyesha mwili wako wote (full size).

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 30.9.2014

N:B Maombi ambayo hayatakuwa yamekamilisha viambatanisho hayatapokelewa.

Maaombi yatumwe:

Barua Pepe: cathbert39@gmail.com
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: