
Mwanamuziki
Kofii Olomide akiimba jukwaani na kundi lake katika Onesho
linalofanyiki usiku huu kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar
es salaam ambapo wageni waalikwa na mashabiki mbalimbali wamefurika
katika viwanja hivvyo , ili waweze kushuhudia shughuli pevu ya
mwanamuziki huyo nguli wa muziki Barani Afrika.
Fullshangweblog na kikozi kazi
chake chote iko katika eneo la tukio ili kukumuvuzishia matukio
yatakayojiri katika viwanja vya Leaders usiku huu moja kwa moja katika
kukupasha habari na kukuburudisha pia.

Mmoja wa wanenguaji wa mwanamuziki Kofii Olomide akifanya vitu vyake jukwaani kama anavyoonekana katika picha.


![]() |
Wanamuziki wa Skylight Band wakikamua. |


![]() | ||||||||||||||||||
Mkurugenzi wa Kampuni ya Clouds Media Group akizungumza kumshukuru mwanamuziki Kofii Olomide na mashabiki waliojitokeza kwa wingi katika onesho hilo kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. |
![]() |
Viongozi wa Mapacha Watatu |
![]() |
Wacheza show wa Mwanamuziki Koffi Olomide. |
![]() |
Wanamuziki wa Bendi ya Diamond Sound. |



Hapa ni Burudani ya mauno tu kama inavyoonekana madau.

Toa Maoni Yako:
0 comments: