Meneja wa Intaneti tigo Bw. Titus Kafuma akiongea na waandshi wa habari leo katika Hoteli ya JB Belmont jijini Dar es Salaam wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wateja wanaotumia huduma ya tigo smart card ambayo imechezeshwa leo kwa mara ya kwanza mara ya droo hiyo kuanzishwa rasimi mwezi septemba mwaka huu ambapo washindi 42 wamepatikana huku washindi watatu kila mmoja amejishindia vocha ya shilingi 50,000 za kununua bidhaa kwenye maduka ambayo tigo itawaelekeza kununua bidha hizo huku washindi wengine wamejishindia tiketi za kuangalia mpira wengine sinema na wengine kwenda kwenye klabu za mziki na wengine wamejishindia tiketi kwa ajili ya mlo wa usiku katika hoteli ambayo tigo itawagaramia kilakitu.
 Afisa uhusiano wa Tigo;Bi.Tuli Mwaikenda  akisisitiza jambo wakati wa droo ya Tigo smarti card leo.
Afisa uhusiano wa Tigo Tuli Mwaikenda (katikati) na kulia Bw. Mkumbo Myonga, kushoto ni Bw. David Sekwao wakiteta jambo wakati wa Droo ya tigo smati card iliofanyika leo katika Hotel ya JB Belmont jijini Dar es salaam. 
David Sekwao kushoto akichezesha Droo hiyo huku akishuhudiwa na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: