Kamaldin Suleima Mbuguni akiwa na baba yake Mbuguni na mama yake Ananora katika sherehe ya mahafali ya darasa la saba mwishoni mwa wiki Blog Hii inampongeza na kumtakia safari njema katika maandalizi ya elimu ya Sekondari.
                                  amaldin Mbuguni akiwa na baba yake Suleiman Mbuguni.
 
 Kamaldin akilishwa keki na binti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega ambaye  wamemaliza pamoja katika Shule ya Msingi Shree Hindu Mandal.
Wazazi wa mtoto Kamaldin (Katikati) kulia ni Baba yake Suleimana Mbughuni na kushoto ni mama yake
KAMALDIN MBUGUNI akiwa na cheti chake cha kuitimu
Mahafali ya Shule ya Msingi Hindu Mandal Kijitonyama, Kulia ni mtoto Kamaldin Suleiman Mbughuni
Hizi ndizo keki za Graduation ya Hindu Mandal
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: