'Nahitaji paspoti yangu', 'Tanzania naomba mnisaidie', 'Eric Shigongo je uko juu ya sheria?' ni baadhi ya maneno yanayosomeka kwenye mabango ya waandamanaji hao.
Mwanamuziki maarufu Afrika Mashariki Jose Chameleone akiwa na wafuasi wake nje ya mjengo wa ofisi za ubalozi wa Tanzania nchini Uganda akishinikiza apatiwe Hati yake ya kusafiria (Passport) yake inayodaiwa kushikiliwa na mtanzania Erick Shigongo.


Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: