Shukrani sana kwa marafiki wote mliofika kutuunga mkono
Supu ya utumbo ilitawala
Story za hapa na pale ziliendelea
Supu tamu hadi jasho
Friends wakiwa Friends Pub, mimi penda sana nyie, support yenu ni tamu
Friends wakiwaelekeza Friends wengine kwa simu waliokuwa wanakuja Friends Pub
Mashemeji haoooo
Nadhani hawa ni Single Boys ......hahahahaha
Gabriel Mollel, namkubali kwa kazi yake


Vicheko vya furaha vilitawala
Kila mtu na wake


Tamuuuu
La Familia mlitisha
Nyama Choma time
Cute Smile, Jacobo na Kaka Lema
 Monica Kaaya mwenye t-shirt nyeupe na nyekundu....La Familia huyo alikuja pia na Group limemzunguka
Pretty



 Friends walijitokeza kwa wingi


 Wambua Juniour and friends.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments:

  1. Ima (The designer)11 June 2012 at 12:02

    Big up kwa walio wakilisha na kwako shem kwa jitihada nzuri za maendeleo na kuwaweka watu pamoja.

    ReplyDelete