Akinamama wakazi wa kijiji cha Maseyu wilaya ya Morogoro vijijini wakiwa wamebeba Lumbesa la Gunia la Mkaa wakielekea kwenye lori halipo pichani mara baada ya mteja wao kununua katika kijiji hicho kilichopo kando ya barabara kuu Dar es Salaam-MOROGORO ambapo gunia moja huuzwa kiasi cha 12,000 hadi sh 15,000 kulingana na ukubwa wake.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: