Wasanii wa kundi la Offside Trick wakilishambulia jukwaa pembeni yao mwanadada akiachia nyonga.
 Msanii Easy Man akikamua stejini huku akipambwa na warembo waliosindikiza.
AT na Shilole wakiwapagawisha mashabiki.

Mnenguaji wa kundi la Shilole akionyesha ujuzi wa kuogelea kama samaki stejini.
WASANII Dogo Mfaume, Easy Man na kundi la Jaguar jana walifunika vilivyo kwa upande wa Mnanda huku Offside Trick wakisindikizwa na Hammer Q, AT na Shilole wakiangusha bonge la burudani na kuwarusha vilivyo wapenzi wa Mduara waliofurika katika ukumbi wa maraha wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: