Baada ya kuripotiwa kuwepo kwa mgomo kwa madaktari katika baadhi ya hospitali jijini DSM hapa mjini DODOMA katika hospitali ya Rufaa ya mkoa Madaktari na wafanyakazi wengine wa hospitali hiyo wanaunga mkono mgomo huo na kusema hawatafanya kazi kama ilivyo kawaida isipokuwa watatoa huduma za dharula tu.

Tamko la kuwepo kwa Mgomo huo unaodaiwa kutokuwa na ukomo limetolewa na viongozi wanaoshughulikia madai ya watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa DODOMA katika mkutano uliojumuisha madaktari na wafanyakazi wote wa Hospitali hiyo ya rufaa .
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: