SIKU ya leo imeenda vyema  kwa mmoja wa mapaparazi wa Magazeti ya Uwazi, Risasi, Championi, Amani, Ijumaa na Ijumaa Wikienda, Musa Mateja ambaye amesherehekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya mjengo wa ofisi ya magazeti hayo na kupata fursa ya kuwalisha keki baadhi ya wafanyakazi wenzake.

Mateja ametimiza umri wa miaka kadhaa na anamshukuru Mungu kwa kumfikisha siku ya leo na amezidi kumuomba amlinde daima.

Muandaaji wa magazeti hayo Sebastian akilishwa kipande cha keki.
Mpiga picha Mkuu wa magazeti hayo, Richard Bukos akilishwa keki

Meneja Mkuu wa Global Publishers LTD, Abdallah Mrisho akimlisha keki mchapakazi wake Musa Mateja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: