Msanii wa kizazi kipya kutoa mkoani Moshi akijiachia na mwanadada ndani ya uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Wanamuziki wa kizazi kipya kundi la Manseze Crew wakiwasha moto, yani hapa walikuwa wanakumbushia enzi zile za 'Kula Kona' ndani ya uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Msanii wa kizazi kipya Mandojo akiwapagawisha mashabiki ndani ya uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Msanii wa kizazi kipya Mandojo na Domokaya wakiwapagawisha mashabiki ndani ya
uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika
uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Furaha zilitawala ndani ya uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Kundi la Wanaume TMK wakiwasha moto ndani ya
uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika
uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Msanii
wa kizazi kipya Temba kutoka kundi la Wanaume TMK akiwaburudisha
wakazi mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Msanii
wa kizazi kipya Chegge kutoka kundi la Wanaume TMK akiwaburudisha
wakazi mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Hata ushow love kulikuwepo...
Mtangazaji wa Clouds Tv kipindi cha Siz Kitaa, Casto Dickson a.k.a Mwananchi wa Kawaida ambaye alikuwa ni mshehereshaji katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi. Hapo alikuwa akiongea na Wananchi wa Mji wa Moshi.
Msanii
wa hip hop JCB Makala kutoka kundi la Watengwa Rec akiwa na mwadada wa kundi lao, Arusha wakiwaburudisha
wakazi mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
...Airtel oyeeeeeeeeeee
Msanii
wa kizazi kipya Linah kutoka THT akiwaburudisha
wakazi mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Wasanii
wa kizazi kipya kutoka kushoto ni Barnaba, Q-chief pamoja na Lina wakiwakumbusha enzi hizo za 'Nikilala Naota' wakazi mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Wasanii
wa kizazi kipya kutoka kushoto ni Barnaba, Q-chief pamoja na Lina
wakiwakumbusha enzi hizo za 'Nikilala Naota' wakazi mji wa Moshi
waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Wasanii
wa kizazi kipya Linah akijiachia na shabiki wake
...???????????
Msanii wa muziki wa Hip Hop MwanaFA akimwagia mistari wakazi mji wa Moshi
waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya
Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini
Moshi.
Wasanii chipukizi wa muziki wa hip hop kutoka Moshi wakiwasha moto ndani ya uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika katika uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Msanii wa kizazi kipya Aslay akiwapa kitu cha 'Naenda kukusemea kwa Mama' wakazi mji wa Mosi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Watu waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Msanii wa kizazi kipya Aslay akiwapa kitu cha 'Naenda kukusemea kwa Mama' wakazi mji wa Mosi waliohudhuria katika uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Watu waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Watu waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Watu waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel, Airtel Money uliofanyika leo kwenye uwanja wa Ushirika mjini Moshi.


Toa Maoni Yako:
0 comments: