Hii ndiyo picha ya ajali aliyoipata Ally a.k.a Daxx eneo la Victoria jijini Dar es Salaam tarehe 25/5/2011 siku ya Krismasi ambapo alikuwa kwenye Taxi akitokea nyumbani kwake Kinondoni jijini Dar es Salaam. Ambapo katika ajali hiyo dereva wa hiyo taxi Hassan alifariki baada ya kukimbizwa hospitali. Akisimulia mkasa wenyewe jinsi ajali hiyo ilivyotokea Ally alisema kuwa wakati wanaelekea Sinza kupitia Victoria walishtukia gari aina ya Prado imetokea upande wa barabara ya tatu huku ukiwa speed kali na kuwagonga upande wa dereva na yeye kutoa salama bila kupata hata jeraha lolote. Dereva amezikwa jana tarehe 26.12.2011 nyumbani kwao Bunju jijini Dar.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: