Mfanyabiashara wa mafuta kijiji cha Luilo Ludewa Joseph Haule akizungumza majeraha ya moto baada ya kulipuliwa na moto wa petrol. 

Mfanyabiashara huyo anadai kulipuliwa na moto huo wa Petrol baada ya chumba chake cha kuhifadhia mafuta ya biashara kushika moto ambao chanzo chake bado kufahamika na kuwa wakati wasamaria wema wakijaribu kuinusuru nyumba kuteketea kwa moto waliamua kuchukua ndoo moja ambayo ndiyo ilikuwa imeshika moto huo na kuitupa nje na ndipo ilipo mwilini mfanyabiashara huyo ambaye alikuwa akikimbilia kusaidia kuzima moto huo.

Shukrani nyingi zimwendee mwanahabari Francis Godwin kutoka Iringa.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: