Kike ya wanadada Magreth Berege na Dr. Gemma Berege ambapo Magreth Berege yeye amekula nondo ya master of bussiness administration - corporate management toka chuo kikuu mzumbe huku Dr. Gemma Berege yeye alikula nondo ya   Master of dentistry in oral surgery toka chuo kikuu muhimbili.
Wakiwa katika nyuso za furaha Magreth Berege (kushoto) na Dr. Gemma Berege (kulia) ambapo Magreth Berege yeye amekula nondo ya Master of Bussiness Administration - Corporate Management toka Chuo Kikuu Mzumbe huku Dr. Gemma Berege yeye amelikula nondo ya Master of Dentistry in Oral Surgery toka Chuo Kikuu Muhimbili. Sherehe ya kuwapongeza ilifanyika nyumbani kwako Masaki jijini Dar es Salaam.
Akiwa katika uso wa tabasamu Magreth Berege amekula nondo ya Master of Bussiness Administration - Corporate Management toka Chuo Kikuu Mzumbe.
 Familia ya Bwana na Bibi Berege wakiwa na watoto wao wapenzi watatu (Pendo,Gema na Mage).
 Wahitimu wawili wa elimu ya juu Masters wakifungua Kinywaji maalumu kuonyesha furaha zao
 Gadner akitoa cheers kwa wahitimu hao/wala Nondo



La Familia wakipiga Cheers na wahitimu
La Familia wakienda kutoa zawadi zao.
 La Familia wakienda kutoa zawadi zao
 ...hongereni sana
 Hongereni sana...zikitoka kwa wana La Familia
 Bw. Jacob akimpongeza mke wake mtarajiwa Magreth pamoja na shemeji yake Dr. Gemma
 La Familia wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu.
 Furaha zilitawala
 Magreth Berege (kushoto) akiwa na rafiki yake Carol (Kulia) wakiwa katika mahafali yao yaliyofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe-Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: