Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Umi Ali Mwalimu aliliambia Bunge mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Naomi Kaihula aliyetaka kujua Serikali itazisaidiaje familia zinazotunzwa na mzazi mmoja ili kuondokana na tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Home
Unlabelled
JUKUMU LA KUTUNZA FAMILIA NI JUKUMU WA WAZAZI WENYEWE: MHE: UMI ALI MWALIMU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: