JK akimnadi mgombea ubunge jimbo la Isimani ambaye kapita baada ya kukosa mpinzani Mh. William Lukuvi huko Isimani leo
Mgombea ubunge Iringa Mjini Mh. Monica Mbega akikumbatiana kwa furaha na Frederick Mwakalebela ambaye alikuwa mpinzani wake kwenye kura za maoni
Mwanasiasa mkongwe Mh. Paul Kimiti akiwa na mgombea Ubunge Iringa mjini na Frederick Mwakalebela uwanja wa Samora mjini Iringa leo. Wahasimu hao katika kura za maoni walitangaza kuvunja makundi na kumpigia upatu mama Mbega pamoja na wagombea udiwani
Pamoja na kutopitishwa katika kura za maoni Frederick Mwakalebela na wagombea wengine wa ubunge na udiwani Iringa mjini walikuwepo uwanja wa Samora kukiunga mkono CCM
Wananchi kibao wa Iringa walijitokeza
wananchi wa Iringa wakimsikiliza JK uwanja wa Samora








Toa Maoni Yako:
0 comments: