028
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk Amani Abeid Karume,akizungumza na Makamo wa rais wa kampuni ya kimataifa inayohusika na huduma za mawasiliano kwa njia ya kompyuta (IBM),Dk Mark E. Dean alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.

059
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Makamo wa rais wa kampuni ya kimataifa inayohusika na huduma za mawasiliano kwa njia ya kompyuta (IBM),Dk Mark E. Dean alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.


Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: