Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro
Tembo...
Nyumbu...
Pundamilia wakiwa katika mbuga ya Serengeti
Hifadhi ya Taifa ya Serengeti
Pamoja na serikali yetu kutangaza kuwa suala la kutembelea mbuga zetu ni la kila mmoja bado watu hawajapata mwamko juu ya hilo na kuona kuwa utalii ni wawazungu tu. Kutembelea Mbuga zetu ni Tsh.1500/= tu kwa Mtanzania.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: