Kamanda James Kombe akielekezwa na mkurugenzi mtendaji wa taasisi ta ARTI-TZ Bw. Joy Desai jinsi ya kutumia majiko yanayotumia mkaa robo kilo kwa kupikia vyakula vya aina 3 kwa wakati mmoja kwa muda wa saa 1:30, mara alipotembelea maonyesho ya Saba saba katika banda la ARTI-TZ lililopo ndani ya ndani la maliasili na utalii.
Home
Unlabelled
SABA SABA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: