Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kongamano la nne kuhusu sekta ya nishati Tanzania, kwenye Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam leo. Wengine pichani kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wenye Viwanda Tanzania, Reginald Mengi, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Mary Nagu na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.
Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: