Usafiri wa Dar es Salaam bado ni tabu maana watu hawa bado wanasubiri dala dala; ni vyema tukaweza kuunga mkono makampuni yaliyoanza kutoa matangazo kwa njia ya tiketi jambo litakalofanya kusomwa na watu wengi tofauti na magazeti ambayo wengi wao hawana kipato cha kuweza kununua.


Jambo hili linafanya kampuni ya Tiketi Media kuweza kupata umaarufu kwa kufanya matangazo kwa njia ya kugawa tiketi kama unavyoona huyu mwanafuzi ambaye alikutwa akiwa ameshikiria tiketi yake.
Katika ugawaji wa tiketi haijalishi umri jambo moja ni ujumbe unawafikia vipi walengwa?


Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: