Usafiri wa Dar es Salaam bado ni tabu maana watu hawa bado wanasubiri dala dala; ni vyema tukaweza kuunga mkono makampuni yaliyoanza kutoa matangazo kwa njia ya tiketi jambo litakalofanya kusomwa na watu wengi tofauti na magazeti ambayo wengi wao hawana kipato cha kuweza kununua.
Jambo hili linafanya kampuni ya Tiketi Media kuweza kupata umaarufu kwa kufanya matangazo kwa njia ya kugawa tiketi kama unavyoona huyu mwanafuzi ambaye alikutwa akiwa ameshikiria tiketi yake.
Katika ugawaji wa tiketi haijalishi umri jambo moja ni ujumbe unawafikia vipi walengwa?
Toa Maoni Yako:
0 comments: