Familia ya Bwana Angelo Kajuna wa Kijenge, Arusha wanayofuraha kukualika kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa mtoto wao mpendwa Cathbert itakayofanyika tarehe 10.04.2008, katika kisiwa cha Bongowe kuanzia saa 4usk (22:00hours). Usafiri wa kwenda na kurudi utakuwepo. Pamoja na starehe zote. Kiingilio ni kufika kwako kama utahudhuria toa taarifa usomapo ujumbe huu ili uandikishe jina lako. Asante sana.

***Cathbert Angelo Kajuna ni Mwandishi (Journalist), Mwandishi mpigapicha(Photojournalist), Muandaaji wa vipindi(Programme Producer) na pia ni mmiliki wa blog hii.
Wote watakaopenda kuhudhuria watume ujumbe mfupi(message) kwenye simu no:
+255 713 797 465



Katika shamla shamla za sherehe hiyo nitasindikizwa na rafiki yangu Maru ambaye ameimba wimbo wa Ukweli aliyomshirikisha mwadada Vumilia na pia yatakuwepo makundi mawili ambayo ni maasimu katika muziki wa bongoflava Wanaume TMK na Wanaume Halisi wanaotarajiwa kuchuana April 11 katika mpambano wa Mkali Nani? utakaofanyika ukumbi wa Diamond jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: