Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wa kwanza kushoto akiwa na baadhi ya wabunge wanawake wakicheza mziki(mduara) katika chakula cha jioni alichowaandalia wabunge hao kwenye makazi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma.Wapili kushoto ni Naibu Spika Anna Makinda ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Kusini,Kulia ni Mbunge wa Kuteuliwa Bi Zakia Meghji na wa pili kulia ni mbunge wa viti maalum, Bi Anna Abdallah na watatu kushoto ni mgeni kutoka Jamaica , Ingrid Loiten.
Home
Unlabelled
MDUARA HAUNA WAZIRI WALA NANI?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: