Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wa kwanza kushoto akiwa na baadhi ya wabunge wanawake wakicheza mziki(mduara) katika chakula cha jioni alichowaandalia wabunge hao kwenye makazi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma.Wapili kushoto ni Naibu Spika Anna Makinda ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Kusini,Kulia ni Mbunge wa Kuteuliwa Bi Zakia Meghji na wa pili kulia ni mbunge wa viti maalum, Bi Anna Abdallah na watatu kushoto ni mgeni kutoka Jamaica , Ingrid Loiten.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: