Ni tarehe 8 Desemba 2017, siku muhimu sana kwa Dismas Hiza na Agnes Misai ambao walifunga ndoa takatifu kanisa Anglikana Mtakatifu Luka Nkuhungu Dodoma na kufuatiwa na tafrija kwenye ukumbi wa Cavilam, Iringa Road. Wasimamizi wa ndoa hiyo walikuwa John Mwimbe na mkewe Bertha Mwimbe. Mchungaji Mabichi wa kanisa hilo ndiye aliyefungisha ndoa hiyo. Mungu awabariki sana wanaondoa hawa.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: