WIKI ILIYOPITA:

EMMANUEL NCHIMBI - "Ndugu wanahabari, baada ya kuwachunguza kwa makini sana wagombea wote 41 wa chama chetu na baada ya kushauriana na familia yangu, nimeamua kwa hiari yangu kujitoa kwa vile hawa wote 41 ni watu wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais. Hivyo yeyote atakaeteuliwa nitamuunga mkono".

JANA USIKU.

"Mimi, Sophia Simba na Adam Kimbisa hatukubaliani na waliopitishwa na hivyo tunajitenga na maamuzi ya Kamati Kuu".
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: